Tafuta

Kiwanja kinauzwa Tabata Segerea Chama, Dar Es Salaam (150 sqm)

Sh. 4,000,000

Maelezo

🏑 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SEGEREA CHAMA

πŸ“ Eneo: Tabata Segerea Chama
πŸ“ Ukubwa: SQM 150
πŸ’° Bei: TSh Milioni 4

Hiki ni kiwanja kizuri kwa uwekezaji wa nyumba za biashara na kukuletea kipato cha kila mwezi.

Unaweza kujenga:
🏘️ Single Rooms 4–6 (choo kimoja cha pamoja), au
🏠 Master Rooms 4 zenye choo cha ndani.

πŸ’΅ Makadirio ya Kodi

Single Room:

* Kodi kwa chumba: TSh 80,000 – 100,000 kwa mwezi.
* Ukijenga vyumba 6:
* 6 Γ— 80,000 = TSh 480,000 kwa mwezi.
* 6 Γ— 100,000 = TSh 600,000 kwa mwezi.

Master Room:

* Kodi kwa chumba: TSh 100,000 – 120,000 kwa mwezi.
* Ukijenga master 4:
* 4 Γ— 100,000 = TSh 400,000 kwa mwezi.
* 4 Γ— 120,000 = TSh 480,000 kwa mwezi.

πŸ”₯ Kwa bei ya Milioni 4 tu, hiki ni kiwanja kinachofaa kwa mtu anayetaka kuanza uwekezaji wa nyumba za kupangisha na kujenga chanzo cha kipato cha uhakika.

πŸ’° Service Charge: TSh 20,000/=
🀝 Udalali: 10%

πŸ“ž Wasiliana nasi: +255 688 412 890

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!