Residential/Commercial Plot for Sale in Mbezi Malamaba, Dar Es Salaam (500 sqm)

Type
Residential/Commercial Plot
Plot Size
500 SQM
Amenities
Description
๐กโจ KIWANJA KINAUZWA MBEZI MALAMBA โ FURSA KUBWA YA UWEKEZAJI โจ๐ก
Kiwanja hiki kinauzwa kwa bei nzuri sana, kikiwa katika eneo la kimkakati na linalofikika kwa urahisi ๐
๐ Ukubwa: mita za mraba 500
๐ต Bei: TZS Milioni 58 (maongezi yapo)
๐ Kipo kipande kimoja tu kutoka barabara ya lami
๐ฟ Eneo ni tambarare kabisa na linafikika bila shida yoyote.
๐ Ndani ya kiwanja kuna nyumba mbili
Unaweza:
- Kuzifanyia karabati na kuishi
- Kupangisha na kuanza kupata mapato ๐ฐ
- Kuzibomoa na kujenga mradi wako mpya
๐ข Eneo linafaa kwa:
- Makazi binafsi
- Apartments za uwekezaji
- Lodge / Guest house
- Biashara nyingine za maendeleo
๐งโก Huduma zote muhimu zipo
Barabara, maji na umeme vinapatikana.
๐ฅ Hii ni fursa nzuri sana kwa mwekezaji au mtu anayehitaji eneo la makazi ya kifahari.
๐ค Service charge: 30,000/=
๐ +255688412890
Karibu ndugu mteja tufanye uwekezaji.
