Residential/Commercial Plot for Sale in Mbezi Malamaba, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 58,000,000

Type

Residential/Commercial Plot

Plot Size

500 SQM

Amenities

Near Paved Road
Near Road
Water Supply
Electricity

Description

๐Ÿกโœจ KIWANJA KINAUZWA MBEZI MALAMBA โ€“ FURSA KUBWA YA UWEKEZAJI โœจ๐Ÿก

Kiwanja hiki kinauzwa kwa bei nzuri sana, kikiwa katika eneo la kimkakati na linalofikika kwa urahisi ๐Ÿ“

๐Ÿ“ Ukubwa: mita za mraba 500
๐Ÿ’ต Bei: TZS Milioni 58 (maongezi yapo)

๐Ÿ“ Kipo kipande kimoja tu kutoka barabara ya lami
๐ŸŒฟ Eneo ni tambarare kabisa na linafikika bila shida yoyote.

๐Ÿ  Ndani ya kiwanja kuna nyumba mbili
Unaweza:
- Kuzifanyia karabati na kuishi
- Kupangisha na kuanza kupata mapato ๐Ÿ’ฐ
- Kuzibomoa na kujenga mradi wako mpya

๐Ÿข Eneo linafaa kwa:
- Makazi binafsi
- Apartments za uwekezaji
- Lodge / Guest house
- Biashara nyingine za maendeleo

๐Ÿ’งโšก Huduma zote muhimu zipo
Barabara, maji na umeme vinapatikana.

๐Ÿ”ฅ Hii ni fursa nzuri sana kwa mwekezaji au mtu anayehitaji eneo la makazi ya kifahari.

๐Ÿค Service charge: 30,000/=
๐Ÿ“ž +255688412890

Karibu ndugu mteja tufanye uwekezaji.