Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Mbezi Malamaba, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Kiwanja (Residential/Commercial)
Ukubwa
500 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘β¨ KIWANJA KINAUZWA MBEZI MALAMBA β FURSA KUBWA YA UWEKEZAJI β¨π‘
Kiwanja hiki kinauzwa kwa bei nzuri sana, kikiwa katika eneo la kimkakati na linalofikika kwa urahisi π
π Ukubwa: mita za mraba 500
π΅ Bei: TZS Milioni 58 (maongezi yapo)
π Kipo kipande kimoja tu kutoka barabara ya lami
πΏ Eneo ni tambarare kabisa na linafikika bila shida yoyote.
π Ndani ya kiwanja kuna nyumba mbili
Unaweza:
- Kuzifanyia karabati na kuishi
- Kupangisha na kuanza kupata mapato π°
- Kuzibomoa na kujenga mradi wako mpya
π’ Eneo linafaa kwa:
- Makazi binafsi
- Apartments za uwekezaji
- Lodge / Guest house
- Biashara nyingine za maendeleo
π§β‘ Huduma zote muhimu zipo
Barabara, maji na umeme vinapatikana.
π₯ Hii ni fursa nzuri sana kwa mwekezaji au mtu anayehitaji eneo la makazi ya kifahari.
π€ Service charge: 30,000/=
π +255688412890
Karibu ndugu mteja tufanye uwekezaji.
