Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Mbezi Malamaba, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 58,000,000

Aina

Kiwanja (Residential/Commercial)

Ukubwa

500 SQM

Huduma na Sifa

Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Barabara
Maji
Umeme

Maelezo

🏑✨ KIWANJA KINAUZWA MBEZI MALAMBA – FURSA KUBWA YA UWEKEZAJI ✨🏑

Kiwanja hiki kinauzwa kwa bei nzuri sana, kikiwa katika eneo la kimkakati na linalofikika kwa urahisi πŸ“

πŸ“ Ukubwa: mita za mraba 500
πŸ’΅ Bei: TZS Milioni 58 (maongezi yapo)

πŸ“ Kipo kipande kimoja tu kutoka barabara ya lami
🌿 Eneo ni tambarare kabisa na linafikika bila shida yoyote.

🏠 Ndani ya kiwanja kuna nyumba mbili
Unaweza:
- Kuzifanyia karabati na kuishi
- Kupangisha na kuanza kupata mapato πŸ’°
- Kuzibomoa na kujenga mradi wako mpya

🏒 Eneo linafaa kwa:
- Makazi binafsi
- Apartments za uwekezaji
- Lodge / Guest house
- Biashara nyingine za maendeleo

πŸ’§βš‘ Huduma zote muhimu zipo
Barabara, maji na umeme vinapatikana.

πŸ”₯ Hii ni fursa nzuri sana kwa mwekezaji au mtu anayehitaji eneo la makazi ya kifahari.

🀝 Service charge: 30,000/=
πŸ“ž +255688412890

Karibu ndugu mteja tufanye uwekezaji.