Residential/Commercial Plot for Sale in Tabata Bima, Dar Es Salaam (700 sqm)

Amenities
Description
🔥 KIWANJA KINAUZWA – TABATA BIMA 🔥<br/><br/>Kiwanja kizuri kinauzwa kipo Tabata Bima, eneo linalokua kwa kasi na lenye fursa nyingi za uwekezaji.<br/><br/>📍 Sifa za kiwanja:<br/>✔️ Ukubwa: SQM 700 (70x10 au 35x20 approx)<br/>✔️ Kimezungushiwa ukuta pande tatu<br/>✔️ Ni tambarare kabisa – tayari kwa ujenzi<br/>✔️ Kipo karibu na barabara ya lami<br/>✔️ Eneo lipo karibu na mji na lina shughuli nyingi (panachangamka)<br/><br/>💡 Matumizi yake:<br/>✅ Uwekezaji wa apartments (vyumba vya kupanga)<br/>✅ Kujenga guest house / hoteli<br/>✅ Frame za biashara (maduka)<br/>✅ Bar / biashara mbalimbali<br/>✅ Au makazi binafsi ya kisasa<br/><br/>💰 Bei: Milioni 195 (Mazungumzo yapo)<br/><br/>📞 Wahi sasa!<br/>Piga: +255 688 412 890<br/><br/>🧾 Service charge: 30,000/=















