Kiwanja (Residential/Commercial) kinauzwa Tabata Bima, Dar Es Salaam (700 sqm)

Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 195,000,000
Aina
Kiwanja (Residential/Commercial)
Ukubwa
700 SQM
Huduma na Sifa
(Fence) Ukuta
Karibu na Barabara ya Lami
Karibu na Mji
Maelezo
🔥 KIWANJA KINAUZWA – TABATA BIMA 🔥
Kiwanja kizuri kinauzwa kipo Tabata Bima, eneo linalokua kwa kasi na lenye fursa nyingi za uwekezaji.
📍 Sifa za kiwanja:
✔️ Ukubwa: SQM 700 (70x10 au 35x20 approx)
✔️ Kimezungushiwa ukuta pande tatu
✔️ Ni tambarare kabisa – tayari kwa ujenzi
✔️ Kipo karibu na barabara ya lami
✔️ Eneo lipo karibu na mji na lina shughuli nyingi (panachangamka)
💡 Matumizi yake:
✅ Uwekezaji wa apartments (vyumba vya kupanga)
✅ Kujenga guest house / hoteli
✅ Frame za biashara (maduka)
✅ Bar / biashara mbalimbali
✅ Au makazi binafsi ya kisasa
💰 Bei: Milioni 195 (Mazungumzo yapo)
📞 Wahi sasa!
Piga: +255 688 412 890
🧾 Service charge: 30,000/=
