Farms for Sale in Mikese, Morogoro


Type
Farm
Nearest Road
20m
Amenities
Description
Karibuni sana wateja wetu wapendwa kutembelea maeneo yetu mazuri ya uwekezaji yaliyopo Mikese, mkoa wa Morogoro.
Tunatoa mashamba yenye maeneo mazuri kwa kilimo, makazi na uwekezaji wa uhakika kwa bei nafuu.
Huduma bora na za uaminifu zinapatikana kupitia Dalali Mshiu ambaye yupo tayari kuwahudumia kwa uwazi na ushirikiano wa karibu.
โKaribu Mikese ujionee fursa halisi za ardhi yenye thamani kwa maendeleo yako ya sasa na baadaye.โ
Mashamba bei kuanzia 500k -3m kwa hekari 1 yapo yaliyo karibu na barabara kuanzia umbali wa mita 20 adi Km.15 yanayopatikana mikese vijiji vya Lubungo, Fulwe ,nyang'wambe, Vilima vitatu.
Yapo ambayo tayari yameshalimwa na ambayo bado hayajasafishwa.๐
Karibu nikuhudumie. @dalalimshiu_moro
Mawasiliano:
๐ฒ0678-517158
๐ฒ0785-517158









