Tafuta

Mashamba yanauzwa Mikese, Morogoro

 media -1
media -1
Sh. 500,000/acre

Maelezo

Karibuni sana wateja wetu wapendwa kutembelea maeneo yetu mazuri ya uwekezaji yaliyopo Mikese, mkoa wa Morogoro.

Tunatoa mashamba yenye maeneo mazuri kwa kilimo, makazi na uwekezaji wa uhakika kwa bei nafuu.

Huduma bora na za uaminifu zinapatikana kupitia Dalali Mshiu ambaye yupo tayari kuwahudumia kwa uwazi na ushirikiano wa karibu.

โ€œKaribu Mikese ujionee fursa halisi za ardhi yenye thamani kwa maendeleo yako ya sasa na baadaye.โ€

Mashamba bei kuanzia 500k -3m kwa hekari 1 yapo yaliyo karibu na barabara kuanzia umbali wa mita 20 adi Km.15 yanayopatikana mikese vijiji vya Lubungo, Fulwe ,nyang'wambe, Vilima vitatu.

Yapo ambayo tayari yameshalimwa na ambayo bado hayajasafishwa.๐Ÿ“

Karibu nikuhudumie. @dalalimshiu_moro

Mawasiliano:
๐Ÿ“ฒ0678-517158
๐Ÿ“ฒ0785-517158

Matangazo yanayofanana Mikese, Morogoro

Shamba linauzwa Mikese Lubungo, Morogoro (1.5 acre)

Sh. 23,000,000

  • Umeme

  • Karibu na Barabara

  • Karibu na Shule

Mashamba yanauzwa Mikese, Morogoro

Sh. 500,000/acre

  • Karibu na Barabara

  • Ardhi Tambarare

  • Site Visit Bure

Shamba linauzwa Mikese Lubungo Shule, Morogoro (5 acre)

Sh. 2,000,000/acre

  • Karibu na Barabara

  • Umeme

  • Site Visit Bure

Shamba linauzwa Mikese Lubungo, Morogoro (15 acre)

Sh. 2,000,000/acre

  • Maji

  • Kisima

  • Karibu na Barabara