Restaurant for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

Sinza, Ubungo, Dar Es Salaam
1 day ago
Sh. 400,000 per month
Type
Restaurant
Description
🏢 MGAHAWA UNAPANGISHWA – SINZA 📍
Mgahawa mzuri unapangishwa eneo la Sinza, pamechangamka sana na panapita wateja wa kutosha 👌
💰 Bei: 400,000/= kwa mwezi
🚗 Gharama za kupelekwa: 30,000/=
📞 Call: 0788 875 810
Wahi sasa kabla haijachukuliwa! 🔥
