Mgahawa unapangishwa Sinza, Dar Es Salaam

Sinza, Ubungo, Dar Es Salaam
1 day ago
Sh. 400,000 per month
Aina
Mgahawa
Maelezo
π’ MGAHAWA UNAPANGISHWA β SINZA π
Mgahawa mzuri unapangishwa eneo la Sinza, pamechangamka sana na panapita wateja wa kutosha π
π° Bei: 400,000/= kwa mwezi
π Gharama za kupelekwa: 30,000/=
π Call: 0788 875 810
Wahi sasa kabla haijachukuliwa! π₯
