2 Bedrooms Furnished House for Sale in Wazo Msigani, Dar Es Salaam


Description
NYUMBA MBILI MPYA-PAMOJA,TZS.265 MILIONI,
WAZO MSIGANI.
Kiwanja kimoja.
Nyumba ni Mpya, zinavutia na kutamanisha.
ZINAUZWA PAMOJA NA SAMANI ZAKE (Furniture)
Kila moja ina vyumba vya kulala viwili
(Kila chumba na Choo chake ndani)
Na,
Kila nyumba ina Sebule kubwa, Jiko,
Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Parking yakutosha
Mtaa tulivu, uliojengeka na Salama.
WAHI MAPEMA.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
_________________ambx















