House for Sale in Goba, Dar Es Salaam

Goba, Ubungo, Dar Es Salaam
10 hours ago
Sh. 390,000,000
Type
House
Description
🔥 HOT DEAL – GOBA NJIA YA MAKONGO 🔥
Nyumba ya kisasa inauzwa kwa OFFER YA MUDA MFUPI!
💥 Bei imeshuka kutoka Milioni 500 hadi Milioni 390 tu!
Hii sio kawaida — ni nafasi adimu kupata nyumba ya kisasa kwa bei hii katika eneo la Goba ambalo linaendelea kukua kwa kasi sana.
🏡 Sifa za Nyumba:
✔️ Nyumba ya kisasa (modern finishing)
✔️ Mazingira mazuri na tulivu
✔️ Inafaa kwa makazi au uwekezaji
✔️ Eneo linalokua kwa kasi (high value appreciation)
⚠️ Tafiti zinaonyesha nyumba nyingi Goba Lastanza zinaanzia around Milioni 300 hadi 600+ kulingana na ukubwa na sifa —
👉 Hii ya 390M ni deal kali sana!
🚨 Wahi sasa uwe wa kwanza kuichukua!
📞 Piga simu haraka kabla haijachukuliwa 0787705274
