Tafuta

Nyumba inauzwa Goba, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 390,000,000

Maelezo

๐Ÿ”ฅ HOT DEAL โ€“ GOBA NJIA YA MAKONGO ๐Ÿ”ฅ

Nyumba ya kisasa inauzwa kwa OFFER YA MUDA MFUPI!

๐Ÿ’ฅ Bei imeshuka kutoka Milioni 500 hadi Milioni 390 tu!

Hii sio kawaida โ€” ni nafasi adimu kupata nyumba ya kisasa kwa bei hii katika eneo la Goba ambalo linaendelea kukua kwa kasi sana.

๐Ÿก Sifa za Nyumba:
โœ”๏ธ Nyumba ya kisasa (modern finishing)
โœ”๏ธ Mazingira mazuri na tulivu
โœ”๏ธ Inafaa kwa makazi au uwekezaji
โœ”๏ธ Eneo linalokua kwa kasi (high value appreciation)

โš ๏ธ Tafiti zinaonyesha nyumba nyingi Goba Lastanza zinaanzia around Milioni 300 hadi 600+ kulingana na ukubwa na sifa โ€”
๐Ÿ‘‰ Hii ya 390M ni deal kali sana!

๐Ÿšจ Wahi sasa uwe wa kwanza kuichukua!
๐Ÿ“ž Piga simu haraka kabla haijachukuliwa 0787705274