Tafuta
-
-

Nyumba inauzwa Goba, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 390,000,000

Aina

Nyumba

Maelezo

🔥 HOT DEAL – GOBA NJIA YA MAKONGO 🔥

Nyumba ya kisasa inauzwa kwa OFFER YA MUDA MFUPI!

💥 Bei imeshuka kutoka Milioni 500 hadi Milioni 390 tu!

Hii sio kawaida — ni nafasi adimu kupata nyumba ya kisasa kwa bei hii katika eneo la Goba ambalo linaendelea kukua kwa kasi sana.

🏡 Sifa za Nyumba:
✔️ Nyumba ya kisasa (modern finishing)
✔️ Mazingira mazuri na tulivu
✔️ Inafaa kwa makazi au uwekezaji
✔️ Eneo linalokua kwa kasi (high value appreciation)

⚠️ Tafiti zinaonyesha nyumba nyingi Goba Lastanza zinaanzia around Milioni 300 hadi 600+ kulingana na ukubwa na sifa —
👉 Hii ya 390M ni deal kali sana!

🚨 Wahi sasa uwe wa kwanza kuichukua!
📞 Piga simu haraka kabla haijachukuliwa 0787705274