1 Bedroom House for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Amenities
Description
๐น๐ฟ MASTER BED ROOM YA KISASA INAPANGISHWA โ KIMARA KOROGWE.
๐ Eneo: Kimara korogwe
๐ Umbali: Km 1 kutoka stendi ya mwendo kasi. Usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, au dakika 12 kwa miguu.
๐ SIFA ZA NYUMBA:
๐น Chumba kimoja (Master Bedroom)
๐น Jiko zuri na la kisasa
๐น Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)watatu.
๐น Maji yanapatikana ndani masaa 24/7hrs
๐น Fensi hamna & Parking kubwa na salama kabisa.
๐Nyumba inakuwa wazi tarehe 20/06/2026 kuona ndani na kufanya malipo luksa kabisa endapo tutamkuta mpangaji.
GHARAMA:
๐ธ Kodi: Tsh 150,000 ร 6 (Miezi sita)
๐ธ Malipo ya dalali: Tsh 150,000
๐ O677370515
#please #Follow_us
Karibu Sana Mteja!















