Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🇹🇿 MASTER BED ROOM YA KISASA INAPANGISHWA – KIMARA KOROGWE.
📍 Eneo: Kimara korogwe
🕒 Umbali: Km 1 kutoka stendi ya mwendo kasi. Usafiri wa bodaboda Tsh 1,000 tu, au dakika 12 kwa miguu.
🏠 SIFA ZA NYUMBA:
🔹 Chumba kimoja (Master Bedroom)
🔹 Jiko zuri na la kisasa
🔹 Umeme & Maji (Submeter yake binafsi)watatu.
🔹 Maji yanapatikana ndani masaa 24/7hrs
🔹 Fensi hamna & Parking kubwa na salama kabisa.
👉Nyumba inakuwa wazi tarehe 20/06/2026 kuona ndani na kufanya malipo luksa kabisa endapo tutamkuta mpangaji.
GHARAMA:
🔸 Kodi: Tsh 150,000 × 6 (Miezi sita)
🔸 Malipo ya dalali: Tsh 150,000
📞 O677370515
#please #Follow_us
Karibu Sana Mteja!















