1 Bedroom House for Rent in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam

Description
🏡 CHUMBA KIKUU (MASTER), SEBULE NA JIKO VINAPANGISHWA
💰 Kodi: TSh 300,000 kwa mwezi
📍 Mahali: Kimara Korogwe – Barabara ya Maji Chumvi
Mazingira
✅ Eneo tulivu na lenye hewa safi
✅ Chumba kikuu kina kiyoyozi (A/C)
Sifa za Nyumba
✔ Chumba 1 cha Master (Self Contained)
✔ Sebule
✔ Jiko la wazi (Open Kitchen)
✔ Kiyoyozi (A/C) kwenye Master Bedroom
✔ Uzio wa fensi
✔ Maegesho ya magari
✔ Mazingira mazuri na salama
✔ Maji na umeme vina mita za kujitegemea
✔ Maji na umeme vinatoka kwenye vyanzo vikuu
Mawasiliano
📞 Simu:
📱
0713661530_0783661530
Muhimu
💳 Service Charge: TSh 20,000 (hulipwa na mteja kwa ajili ya kuonyeshwa nyumba/vyumba). Malipo haya yataendelea kuwa halali hadi utakapopata nyumba inayokufaa.
💼 Dalali/Commission: Kodi ya mwezi mmoja (hulipwa na mpangaji).
Masharti ya Malipo
📅 Kodi ya miezi 6 kwa malipo ya awali.
0713661530_0783661530















