10 Bedrooms House for Sale in Manzese Uzuri, Dar Es Salaam (350 sqm)

Type
House
Bedrooms
10
Plot Size
350 SQM
Nearest Road
100m
Amenities
Description
NYUMBA MBILI ZINAUZWA NA BANK PAMOJA,TSHS.47 MILIONI MANZESE UZURI. Hapa ni jirani na MANZESE SEKONDARI. Umbali wa mita 100 tu kutoka Barabara ya Lami ya SINZA/MAGOMENI-KANISANI kupitia TANDALE. Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 350. Umiliki ni LESENI YA MAKAZI. Nyumba moja ina Vyumba 4 vya kulala. Na nyingine ina jumla ya Vyumba 6. NI NYUMBA YA KISWAHILI, Ambayo pengine inaweza kuhitaji MABORESHO. Hatahivyo ina Wapangaji. Pazuri kwa Biashara ya kupangisha. WAHI. ______________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. +255 714 591 548 ______________jj







