6 Bedrooms House for sale in Mwananyamala Msufini, Dar Es Salaam

Mwananyamala, Dar Es Salaam
6 hours ago
Sh. 38,000,000
Amenities
Description
Banda Linauzwa
Banda la vyumba 6
Location Mwananyamala
Msufini
Bei Milion 38
Kila chumba kwa mwezi 40
Ukinunua nabukakalabati unaweza pangisha 60 nakuendelea
Banda linauzwa na mwenyewe
Mauziano ya serikali ya mtaa
Agent Fee 50k
Agent commission 10k
Pia unaweza Nunua na ukabomoa ukajenga master za 150 nne kila mwezi ukawa unachukua kodi laki 6
Kalibuni sana









