Tafuta

Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Mwananyamala Msufini, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 38,000,000

Maelezo

Banda Linauzwa
Banda la vyumba 6
Location Mwananyamala
Msufini
Bei Milion 38
Kila chumba kwa mwezi 40
Ukinunua nabukakalabati unaweza pangisha 60 nakuendelea
Banda linauzwa na mwenyewe
Mauziano ya serikali ya mtaa
Agent Fee 50k
Agent commission 10k
Pia unaweza Nunua na ukabomoa ukajenga master za 150 nne kila mwezi ukawa unachukua kodi laki 6
Kalibuni sana

Matangazo mengine Mwananyamala, Dar Es Salaam