Search

4 Bedrooms House for Sale in Buyuni, Chanika, Dar Es Salaam (610 sqm)

video thumbnail
Sh. 72,000,000

Description

NYUMBA YENYE HATI INAUZWA NA BANK,TZS.72 MILIONI, BUYUNI-CHANIKA/ILALA.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 610.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

Hapa ni TALIANI/NSSF.
Wastani wa kilomita 1 tu kutoka Barabara ya Lami.

Vyumba 4 ( 2 Vyoo ndani)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

_________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________jj