4 Bedrooms House for Sale in Kinyerezi Shule, Dar Es Salaam
Description
๐ก NYUMBA INAUZWA โ KINYEREZI SHULE
Je, unatafuta nyumba ya kuishi au uwekezaji wenye faida? Hii ndiyo nafasi yako!
๐ Nyumba ipo Kinyerezi Shule, takribani km 1 kutoka stendi. Inatazama barabara ya mtaa, inafikika kwa urahisi wakati wote, na ipo katika mazingira mazuri yanayokua kwa kasi.
โจ Sifa za Nyumba
โ
Vyumba 4 vya kulala (2 Master Bedroom)
โ
Sebule kubwa
โ
Dining
โ
Jiko lenye makabati
โ
Choo cha wageni (Public Toilet)
๐ง Maji ya RASCO yanapatikana pamoja na water reserve tank.
๐ Eneo lina parking ya kutosha na nafasi ya kutengeneza bustani nzuri.
๐ก Kama unatafuta makazi ya familia, nyumba hii ni chaguo bora lenye nafasi ya kutosha na mazingira tulivu.
๐ฐ Bei: TSh Mil 100
๐ Service Charge: TSh 30,000
๐ฒ Piga: +255 688 412 890
Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















