Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kinyerezi Shule, Dar Es Salaam

Sh. 100,000,000

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA INAUZWA โ€“ KINYEREZI SHULE

Je, unatafuta nyumba ya kuishi au uwekezaji wenye faida? Hii ndiyo nafasi yako!

๐Ÿ“ Nyumba ipo Kinyerezi Shule, takribani km 1 kutoka stendi. Inatazama barabara ya mtaa, inafikika kwa urahisi wakati wote, na ipo katika mazingira mazuri yanayokua kwa kasi.

โœจ Sifa za Nyumba
โœ… Vyumba 4 vya kulala (2 Master Bedroom)
โœ… Sebule kubwa
โœ… Dining
โœ… Jiko lenye makabati
โœ… Choo cha wageni (Public Toilet)

๐Ÿ’ง Maji ya RASCO yanapatikana pamoja na water reserve tank.

๐Ÿš— Eneo lina parking ya kutosha na nafasi ya kutengeneza bustani nzuri.

๐Ÿก Kama unatafuta makazi ya familia, nyumba hii ni chaguo bora lenye nafasi ya kutosha na mazingira tulivu.

๐Ÿ’ฐ Bei: TSh Mil 100

๐Ÿ“ž Service Charge: TSh 30,000
๐Ÿ“ฒ Piga: +255 688 412 890

Dalali Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!

Matangazo mengine Kinyerezi, Dar Es Salaam