Search

4 Bedrooms House for Sale in Malaika Beach, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 480,000,000

Amenities

Title Deed
Near Beach
Near Road
Kitchen
Dining Room
Sitting Room

Description

🏑πŸ”₯ GHOROFA LA KISASA LINAUZWA– KIGAMBONI, /MALAIKA BEACH πŸ”₯🏑

πŸ’Ž FURSA YA KIPEKEE KARIBU NA BEACH!

Ghorofa la kisasa kabisa linauzwa Kigamboni, eneo la Mikadi/Malaika Beach, sehemu nzuri kwa makazi na uwekezaji wa kitalii. Eneo la Mikadi liko karibu na Kigamboni Ferry na lina ufukwe wa Bahari ya Hindi.

✨ SIFA ZA GHOROFA:
βœ… Vyumba 4, vyote Master
βœ… Sebule
βœ… Dining
βœ… Jiko
βœ… Design ya kisasa kabisa
πŸ“ Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,200
πŸ“„ Hati ya Wizara
🌊 Takribani mita 200 kutoka Beach

πŸ“ UMBALI:
πŸš— Mita 200 kutoka barabarani
⛴️ Kilomita 3 kutoka Ferry
πŸŒ‰ Kilomita 4 kutoka Daraja la Nyerere, Kigamboni

πŸ’° BEI: TZS MILIONI 480
🀝 Mazungumzo kidogo yapo.

πŸ”₯ GHOROFA HILI LINAfaa kwa:
🏨 Hotel
🏑 Airbnb
πŸŽ‰ House Party
🏠 Makazi ya familia
πŸ“ˆ Uwekezaji wa muda mrefu

🌴 Eneo la Kigamboni lina fursa nzuri kwa miradi ya makazi na utalii kutokana na ukanda wake wa pwani.

πŸ“ž

dalali_viwanja_adamu

dalali_adamu_viwanja

@dalali_adamu_viwanja

View Listings

Similar properties in Malaika Beach, Dar Es Salaam

dalali_viwanja_adamu