4 Bedrooms House for sale in Mbagala Chamaz, Dar Es Salaam

Amenities
Description
Njoo boss wangu nkuzie hii nyumba kalli sana Ina uzwa tsh mil 105 tu
Ni bei nzuri sana na maongezi yapo kidogo
Nyumba ipo mbagala chamaz mtaa wa dovya jiji la dar es salaam wilaya ya temeke
Ina vyumba vya kulala 4 vyumba viwili ni masters bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet ina maji na umeme upo wa luku ukiwa serious uwezi kuiyacha kabisa Njoo ukiwa serious tumalize biashara
Kwa maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp 🇹🇿 0759 203175 0652 618 143 🇹🇿















