Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Chamaz, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 105,000,000

Maelezo

Njoo boss wangu nkuzie hii nyumba kalli sana Ina uzwa tsh mil 105 tu
Ni bei nzuri sana na maongezi yapo kidogo
Nyumba ipo mbagala chamaz mtaa wa dovya jiji la dar es salaam wilaya ya temeke

Ina vyumba vya kulala 4 vyumba viwili ni masters bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet ina maji na umeme upo wa luku ukiwa serious uwezi kuiyacha kabisa Njoo ukiwa serious tumalize biashara

Kwa maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp šŸ‡¹šŸ‡æ 0759 203175 0652 618 143 šŸ‡¹šŸ‡æ

Matangazo mengine Chamazi, Dar Es Salaam