4 Bedrooms House for Sale in Mbagala Chamazi – Mkongo, Dar Es Salaam

Chamazi, Temeke, Dar Es Salaam
6 hours ago
Sh. 190,000,000
Type
House
Bedrooms
4
Amenities
Boya Kota
Description
🏡 NYUMBA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI (MKONGO)
Nyumba kubwa na ya kisasa inauzwa kwa bei ya Tsh Milioni 190 (maongezi yapo).
📍 Location: Mbagala Chamazi – Mkongo
Sifa za nyumba:
✔️ Vyumba 4 vya kulala – vyote ni master bedroom
✔️ Sebule kubwa na ya kisasa
✔️ Jiko la kisasa
✔️ Boya kota: chumba, sebule, master na jiko lake (juu na chini)
✔️ Nyumba ya kisasa yenye muonekano wa kuvutia
💥 Nyumba ni kubwa, nzuri na inafaa kwa familia au uwekezaji
👉 Njoo site ujionee mwenyewe – huwezi kuiacha ukiwa serious!
📞 Kwa maelekezo zaidi piga simu: 0683 665504
