4 Bedrooms House for Sale in Mbagala Chamazi โ Mkongo, Dar Es Salaam

Description
๐ก NYUMBA INAUZWA โ MBAGALA CHAMAZI (MKONGO)
Nyumba kubwa na ya kisasa inauzwa kwa bei ya Tsh Milioni 190 (maongezi yapo).
๐ Location: Mbagala Chamazi โ Mkongo
Sifa za nyumba:
โ๏ธ Vyumba 4 vya kulala โ vyote ni master bedroom
โ๏ธ Sebule kubwa na ya kisasa
โ๏ธ Jiko la kisasa
โ๏ธ Boya kota: chumba, sebule, master na jiko lake (juu na chini)
โ๏ธ Nyumba ya kisasa yenye muonekano wa kuvutia
๐ฅ Nyumba ni kubwa, nzuri na inafaa kwa familia au uwekezaji
๐ Njoo site ujionee mwenyewe โ huwezi kuiacha ukiwa serious!
๐ Kwa maelekezo zaidi piga simu: 0683 665504















