Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Chamazi – Mkongo, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 190,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

4

Huduma na Sifa

Boya Kota

Maelezo

🏡 NYUMBA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI (MKONGO)

Nyumba kubwa na ya kisasa inauzwa kwa bei ya Tsh Milioni 190 (maongezi yapo).

📍 Location: Mbagala Chamazi – Mkongo

Sifa za nyumba:
✔️ Vyumba 4 vya kulala – vyote ni master bedroom
✔️ Sebule kubwa na ya kisasa
✔️ Jiko la kisasa
✔️ Boya kota: chumba, sebule, master na jiko lake (juu na chini)
✔️ Nyumba ya kisasa yenye muonekano wa kuvutia

💥 Nyumba ni kubwa, nzuri na inafaa kwa familia au uwekezaji

👉 Njoo site ujionee mwenyewe – huwezi kuiacha ukiwa serious!

📞 Kwa maelekezo zaidi piga simu: 0683 665504