4 Bedrooms House for Sale in Mbagala Chamazi, Dar Es Salaam

Description
🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MBAGALA CHAMAZI 📍
Unatafuta nyumba nzuri ya familia au uwekezaji? Hii hapa opportunity ya kipekee Chamazi, Mbagala ndani ya mazingira mazuri na salama. 🔥
✨ Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 4 vya kulala
✅ Vyumba 2 Master Bedroom
✅ Sitting Room kubwa
✅ Dining Room
✅ Jiko la kisasa + Store
✅ Public Toilet
✅ Kisima cha maji cha uhakika
✅ Parking kubwa ya kutosha
✅ Frem 2 za biashara
✅ Dakika chache kutoka lami
✅ Hati safi ya serikali ya mtaa
✅ Eneo lenye maendeleo na mpangilio mzuri
📍 Location: Mbagala Chamazi – Dar es Salaam
⏰ Dakika 20 tu mpaka mjini
💰 Bei: Milioni 120 tu
🤝 Maongezi yapo kwa mteja serious
📞 Kwa maelezo zaidi na kwenda kuona nyumba:
☎️ 0683 665504
🔥 Njoo site ukague mwenyewe, nyumba ni kali sana!
#WatejaSeriousTu















