Search

4 Bedrooms House for Sale in Mbagala Maji Matitu, Dar Es Salaam

Sh. 150,000,000

Description

šŸ” NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA – MBAGALA MAJI MATITU šŸ”

šŸ’° Bei: Milioni 150 (Mazungumzo yapo site na mwenye nyumba.)

šŸ“ Nyumba ipo Mbagala Maji Matitu, umbali wa dakika chache sana kutoka barabara kuu ya lami, eneo lenye miundombinu mizuri na huduma zote muhimu.

✨ SIFA ZA NYUMBA
āœ… Vyumba 4 vya kulala, vyote ni Master Bedroom
āœ… Sitting Room kubwa na ya kisasa
āœ… Dining Room
āœ… Jiko kubwa la kisasa
āœ… Umeme wa LUKU upo
āœ… Kisima cha maji kinachotoa huduma ya uhakika
āœ… Electronic Fence (uzio wa umeme)
āœ… CCTV Camera kwa usalama wa hali ya juu

šŸ  Hii ni nyumba bora kwa makazi ya familia au uwekezaji. Usikose nafasi hii ya kipekee!

šŸ“ž Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda kuiona site, piga simu: 0683 665504.

Asala kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi!

Similar properties in Mbagala, Dar Es Salaam