Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Maji Matitu, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
๐ก NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA โ MBAGALA MAJI MATITU ๐ก
๐ฐ Bei: Milioni 150 (Mazungumzo yapo site na mwenye nyumba.)
๐ Nyumba ipo Mbagala Maji Matitu, umbali wa dakika chache sana kutoka barabara kuu ya lami, eneo lenye miundombinu mizuri na huduma zote muhimu.
โจ SIFA ZA NYUMBA
โ
Vyumba 4 vya kulala, vyote ni Master Bedroom
โ
Sitting Room kubwa na ya kisasa
โ
Dining Room
โ
Jiko kubwa la kisasa
โ
Umeme wa LUKU upo
โ
Kisima cha maji kinachotoa huduma ya uhakika
โ
Electronic Fence (uzio wa umeme)
โ
CCTV Camera kwa usalama wa hali ya juu
๐ Hii ni nyumba bora kwa makazi ya familia au uwekezaji. Usikose nafasi hii ya kipekee!
๐ Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda kuiona site, piga simu: 0683 665504.
Asala kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi!















