Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Maji Matitu, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 150,000,000

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA โ€“ MBAGALA MAJI MATITU ๐Ÿก

๐Ÿ’ฐ Bei: Milioni 150 (Mazungumzo yapo site na mwenye nyumba.)

๐Ÿ“ Nyumba ipo Mbagala Maji Matitu, umbali wa dakika chache sana kutoka barabara kuu ya lami, eneo lenye miundombinu mizuri na huduma zote muhimu.

โœจ SIFA ZA NYUMBA
โœ… Vyumba 4 vya kulala, vyote ni Master Bedroom
โœ… Sitting Room kubwa na ya kisasa
โœ… Dining Room
โœ… Jiko kubwa la kisasa
โœ… Umeme wa LUKU upo
โœ… Kisima cha maji kinachotoa huduma ya uhakika
โœ… Electronic Fence (uzio wa umeme)
โœ… CCTV Camera kwa usalama wa hali ya juu

๐Ÿ  Hii ni nyumba bora kwa makazi ya familia au uwekezaji. Usikose nafasi hii ya kipekee!

๐Ÿ“ž Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda kuiona site, piga simu: 0683 665504.

Asala kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi!

Matangazo mengine Mbagala, Dar Es Salaam