4 Bedrooms House for sale in Mbagala Maji Matitu, Dar Es Salaam
Amenities
Description
š” NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA ā MBAGALA MAJI MATITU š”
š° Bei: Milioni 150 (Mazungumzo yapo site na mwenye nyumba.)
š Nyumba ipo Mbagala Maji Matitu, umbali wa dakika chache sana kutoka barabara kuu ya lami, eneo lenye miundombinu mizuri na huduma zote muhimu.
⨠SIFA ZA NYUMBA
ā
Vyumba 4 vya kulala, vyote ni Master Bedroom
ā
Sitting Room kubwa na ya kisasa
ā
Dining Room
ā
Jiko kubwa la kisasa
ā
Umeme wa LUKU upo
ā
Kisima cha maji kinachotoa huduma ya uhakika
ā
Electronic Fence (uzio wa umeme)
ā
CCTV Camera kwa usalama wa hali ya juu
š Hii ni nyumba bora kwa makazi ya familia au uwekezaji. Usikose nafasi hii ya kipekee!
š Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda kuiona site, piga simu: 0683 665504.
Asala kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi!















