Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Maji Matitu, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA – MBAGALA MAJI MATITU 🏡
💰 Bei: Milioni 150 (Mazungumzo yapo site na mwenye nyumba.)
📍 Nyumba ipo Mbagala Maji Matitu, umbali wa dakika chache sana kutoka barabara kuu ya lami, eneo lenye miundombinu mizuri na huduma zote muhimu.
✨ SIFA ZA NYUMBA
✅ Vyumba 4 vya kulala, vyote ni Master Bedroom
✅ Sitting Room kubwa na ya kisasa
✅ Dining Room
✅ Jiko kubwa la kisasa
✅ Umeme wa LUKU upo
✅ Kisima cha maji kinachotoa huduma ya uhakika
✅ Electronic Fence (uzio wa umeme)
✅ CCTV Camera kwa usalama wa hali ya juu
🏠 Hii ni nyumba bora kwa makazi ya familia au uwekezaji. Usikose nafasi hii ya kipekee!
📞 Kwa maelezo zaidi na kupanga kwenda kuiona site, piga simu: 0683 665504.
Asala kwa muuzaji, faida kwa mnunuzi!















