5 Bedrooms House for Sale in Chamazi Shule, Dar Es Salaam

Amenities
Description
π‘ NYUMBA INAUZWA β CHAMAZI SHULE π
Bei: Milioni 49 (Mazungumzo yapo)
Nyumba ipo eneo la Chamazi Shule, umbali wa dakika 4 tu kutoka barabara kuu ya lami kwa mwendo wa kawaida. Eneo zuri na tulivu kwa makazi ya familia. π₯
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 5 vya kulala
β
Chumba 1 Master Bedroom
β
Umeme upo
β
Maji yapo
β
Mazingira mazuri na salama
π Hii ni fursa nzuri sana kwa mwenye kutafuta nyumba kubwa kwa bei nafuu. Wahi site ukague mwenyewe kabla haijachukuliwa.
π Kwa maelezo zaidi piga simu: 0683 665504















