5 Bedrooms House for Sale in Goba Kulangwa, Dar Es Salaam (1700 sqm)
Type
House
Bedrooms
5
Plot Size
1700 SQM
Nearest Road
1km — Goba Road
Amenities
Description
NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA GOBA KULANGWA — BEI YA HASARA! 🔥🏠
Mmiliki anahitaji fedha ya haraka, hivyo nyumba hii inauzwa kwa bei ya kipekee. Anayewahi ndiye anayechukua!
📍 Eneo: Goba Kulangwa — takribani km 1 kutoka barabara kuu ya Goba
🏠 Aina: Nyumba mpya ya ghorofa moja
📐 Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,700
📜 Umiliki: Ina Hati Miliki (Title Deed)
⭐ SIFA ZA NYUMBA
🛏️ Vyumba 5 vya kulala, vyote Master Bedrooms
⬆️ Ghorofa ya juu: vyumba 3
⬇️ Chini: vyumba 2
🎨 Finishings za ndani zimekamilika na nyumba imepambwa kwa rangi
🛏️ Baadhi ya vitanda vipo tayari
🔨 Imebaki kumalizia vitu vidogo sana vya nje
🌆 Ipo kwenye mtaa mzuri na wa kisasa, uliojengeka vizuri na kuzungukwa na nyumba za kifahari
💰 BEI: TSh MILIONI 900 TU
🤝 Mazungumzo yapo mezani kwa mnunuzi serious.
⚠️ TAHADHARI: Hii ni fursa ya haraka. Mmiliki anahitaji fedha, hivyo usichelewe—anayewahi ndiye anayechukua!
📞 WASILIANA NAMI KWA MAELEZO ZAIDI NA KUONA NYUMBA.
Site Visit 50,000
#
#















