Tafuta

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Goba Kulangwa, Dar Es Salaam (1700 sqm)

Sh. 900,000,000

Maelezo

NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA GOBA KULANGWA — BEI YA HASARA! 🔥🏠

Mmiliki anahitaji fedha ya haraka, hivyo nyumba hii inauzwa kwa bei ya kipekee. Anayewahi ndiye anayechukua!

📍 Eneo: Goba Kulangwa — takribani km 1 kutoka barabara kuu ya Goba

🏠 Aina: Nyumba mpya ya ghorofa moja
📐 Ukubwa wa kiwanja: SQM 1,700
📜 Umiliki: Ina Hati Miliki (Title Deed)
⭐ SIFA ZA NYUMBA
🛏️ Vyumba 5 vya kulala, vyote Master Bedrooms
⬆️ Ghorofa ya juu: vyumba 3
⬇️ Chini: vyumba 2

🎨 Finishings za ndani zimekamilika na nyumba imepambwa kwa rangi
🛏️ Baadhi ya vitanda vipo tayari
🔨 Imebaki kumalizia vitu vidogo sana vya nje
🌆 Ipo kwenye mtaa mzuri na wa kisasa, uliojengeka vizuri na kuzungukwa na nyumba za kifahari
💰 BEI: TSh MILIONI 900 TU

🤝 Mazungumzo yapo mezani kwa mnunuzi serious.
⚠️ TAHADHARI: Hii ni fursa ya haraka. Mmiliki anahitaji fedha, hivyo usichelewe—anayewahi ndiye anayechukua!
📞 WASILIANA NAMI KWA MAELEZO ZAIDI NA KUONA NYUMBA.

Site Visit 50,000
#
#

dalalismart_tegeta _madale

dalalismart_tegetamadale

@dalalismart_tegetamadale

View Listings

Matangazo mengine Goba, Dar Es Salaam

Nyumba inauzwa Goba, Dar Es Salaam (600 sqm)

Sh. 120,000,000

For Sale600 sqmhouse
Nyumba inauzwa Goba Center, Dar Es Salaam

Sh. 180,000,000

For Salehouse
dalalismart_tegeta _madale