5 Bedrooms House for sale in Goba kwa Robert, Dar Es Salaam

Type
House
Bedrooms
5
Plot Size
1200 SQM
Nearest Road
200m โ Goba/Mbezi
Amenities
Description
NYUMBA MBILI, HATI IPO,TSHS.100 MILIONI,GOBA KWA ROBERT.
Hizi ni nyumba mbilk katika Kiwanja kimoja.
Zipk umbali wa mita 200 tu kutoka Barabara ya Lami ya Goba/Mbezi.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,200.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Nyumba kubwa ina jumla ya vyumba vya kulala 4,
Vyumba 2 vina Vyoo ndani.
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ndogo Ina eneo kubwa na ina Chumba 1,
Ambacho ni Masta .Pia ina Sebule na jiko lake.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mpg
