5 Bedrooms House for sale in Goba kwa Robert, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 100,000,000

Type

House

Bedrooms

5

Plot Size

1200 SQM

Nearest Road

200m โ€” Goba/Mbezi

Amenities

Title Deed
Tiles
Kitchen
Kitchen Cabinets
Store Room
Fans

Description

NYUMBA MBILI, HATI IPO,TSHS.100 MILIONI,GOBA KWA ROBERT.

Hizi ni nyumba mbilk katika Kiwanja kimoja.
Zipk umbali wa mita 200 tu kutoka Barabara ya Lami ya Goba/Mbezi.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,200.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

Nyumba kubwa ina jumla ya vyumba vya kulala 4,
Vyumba 2 vina Vyoo ndani.
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Nyumba ndogo Ina eneo kubwa na ina Chumba 1,
Ambacho ni Masta .Pia ina Sebule na jiko lake.

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________mpg