Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Goba kwa Robert, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
200m โ Goba/Mbezi
Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA MBILI, HATI IPO,TSHS.100 MILIONI,GOBA KWA ROBERT.
Hizi ni nyumba mbilk katika Kiwanja kimoja.
Zipk umbali wa mita 200 tu kutoka Barabara ya Lami ya Goba/Mbezi.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,200.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Nyumba kubwa ina jumla ya vyumba vya kulala 4,
Vyumba 2 vina Vyoo ndani.
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ndogo Ina eneo kubwa na ina Chumba 1,
Ambacho ni Masta .Pia ina Sebule na jiko lake.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mpg
