5 Bedrooms House for Sale in Kibada, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Type
House
Bedrooms
5
Plot Size
1000 SQM
Nearest Road
200m
Amenities
Description
🏡 CLASSIC HOUSE INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA 🏡
Je, unatafuta nyumba ya kifahari yenye nafasi kubwa na fursa nyingi za uwekezaji? Hii ndiyo chaguo sahihi!
✨ Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 5 vya kulala, vyote Master
✅ Sebule kubwa
✅ Dining room
✅ Jiko la kisasa
✅ Eneo la SQM 1,000
✅ Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Umiliki
📍 Mahali: Kigamboni – Kibada
* Mita 200 tu kutoka barabara ya lami
* Kilomita 6 kutoka Ferry
* Kilomita 5 kutoka Daraja la Mwalimu Julius Nyerere
🌟 Nyumba ipo katika mtaa mzuri wenye mazingira safi na salama. Inafaa kwa:
✔️ Makazi ya kifahari
✔️ Airbnb
✔️ House Party Venue
✔️ Boutique Hotel
✔️ Uwekezaji wenye faida
💰 Bei: TZS Milioni 600
🤝 Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.
📞 0769554221
#trendingvideo #istagram #realestateinvestment #realestateagent #tanzania















