3 Bedrooms House for Rent in Kikuyu South Extension, Dodoma

Amenities
Description
π‘ NYUMBA YA STAND ALONE YENYE VYUMBA 3 INAPANGISHWA
π Mahali: Kikuyu South Extension (Upande wa pili wa SGR Station)
Muundo wa Nyumba:
β
Vyumba 3 vya kulala (Kimoja Master)
β
Sebule kubwa na ya kisasa
β
Dining
β
Jiko kubwa
β
Public Toilet
π° Kodi: Tsh 350,000/= (Malipo ya miezi 4)
Huduma Zinazopatikana:
βοΈ Umeme upo
βοΈ Maji yanapatikana muda wote
βοΈ Boda ni Tsh 1,500/= tu hadi barabara ya lami
βοΈ Jirani sana na SGR Station
π Mawasiliano:
0787 037 986
0757 037 986
Karibuni Bupalu Real Estate β Tunakusaidia kupata nyumba bora kwa urahisi.















