Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Kikuyu South Extension, Dodoma
Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA YA STAND ALONE YENYE VYUMBA 3 INAPANGISHWA
š Mahali: Kikuyu South Extension (Upande wa pili wa SGR Station)
Muundo wa Nyumba:
ā
Vyumba 3 vya kulala (Kimoja Master)
ā
Sebule kubwa na ya kisasa
ā
Dining
ā
Jiko kubwa
ā
Public Toilet
š° Kodi: Tsh 350,000/= (Malipo ya miezi 4)
Huduma Zinazopatikana:
āļø Umeme upo
āļø Maji yanapatikana muda wote
āļø Boda ni Tsh 1,500/= tu hadi barabara ya lami
āļø Jirani sana na SGR Station
š Mawasiliano:
0787 037 986
0757 037 986
Karibuni Bupalu Real Estate ā Tunakusaidia kupata nyumba bora kwa urahisi.









