3 Bedrooms House for Sale in Goba Njia Nne, Dar Es Salaam (800 sqm)

Amenities
Description
๐ก NYUMBA MPYA INAUZWA โ GOBA NJIA NNE
Unatafuta nyumba ya kisasa kwenye eneo zuri na lenye maendeleo? Hii hapa fursa yako!
โจ Sifa za Nyumba:
* Vyumba 3 vya kulala
* Vyumba 2 ni Master (vyenye choo ndani)
* Sebule kubwa na ya kisasa
* Jiko la kisasa
* Eneo kubwa: SQM 800
๐ Hati: Full Title Deed (umiliki halali kabisa)
๐ฐ Bei: Tsh Milioni 360 (mazungumzo yapo)
๐ Wasiliana sasa: 0769 554 221
๐ Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri, salama na yenye miundombinu inayoendelea kukua haraka โ chaguo sahihi kwa makazi au uwekezaji.
#trendingvideos #istagram #tanzania๐น๐ฟ #realestateforsale #trendingaudio















