Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba Njia Nne, Dar Es Salaam (800 sqm)

video thumbnail
Sh. 360,000,000

Huduma na Sifa

Hati
Modern Kitchen
Large Living Room

Maelezo

๐Ÿก NYUMBA MPYA INAUZWA โ€“ GOBA NJIA NNE

Unatafuta nyumba ya kisasa kwenye eneo zuri na lenye maendeleo? Hii hapa fursa yako!

โœจ Sifa za Nyumba:

* Vyumba 3 vya kulala
* Vyumba 2 ni Master (vyenye choo ndani)
* Sebule kubwa na ya kisasa
* Jiko la kisasa
* Eneo kubwa: SQM 800

๐Ÿ“œ Hati: Full Title Deed (umiliki halali kabisa)
๐Ÿ’ฐ Bei: Tsh Milioni 360 (mazungumzo yapo)

๐Ÿ“ž Wasiliana sasa: 0769 554 221

๐Ÿ‘‰ Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri, salama na yenye miundombinu inayoendelea kukua haraka โ€“ chaguo sahihi kwa makazi au uwekezaji.

#trendingvideos #istagram #tanzania๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ #realestateforsale #trendingaudio