Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba Njia Nne, Dar Es Salaam (800 sqm)

Goba, Ubungo, Dar Es Salaam
4 hours ago
Sh. 360,000,000
Aina
Nyumba
Vyumba
3
Ukubwa
800 SQM
Huduma na Sifa
Hati
Modern Kitchen
Large Living Room
Maelezo
🏡 NYUMBA MPYA INAUZWA – GOBA NJIA NNE
Unatafuta nyumba ya kisasa kwenye eneo zuri na lenye maendeleo? Hii hapa fursa yako!
✨ Sifa za Nyumba:
* Vyumba 3 vya kulala
* Vyumba 2 ni Master (vyenye choo ndani)
* Sebule kubwa na ya kisasa
* Jiko la kisasa
* Eneo kubwa: SQM 800
📜 Hati: Full Title Deed (umiliki halali kabisa)
💰 Bei: Tsh Milioni 360 (mazungumzo yapo)
📞 Wasiliana sasa: 0769 554 221
👉 Nyumba ipo kwenye mazingira mazuri, salama na yenye miundombinu inayoendelea kukua haraka – chaguo sahihi kwa makazi au uwekezaji.
#trendingvideos #istagram #tanzania🇹🇿 #realestateforsale #trendingaudio
