3 Bedrooms House for Sale in Kibaha Kwa Mfipa, Pwani (400 sqm)

Type
House
Bedrooms
3
Bathrooms
2
Plot Size
400 SQM
Amenities
Description
BOMA JIPYAA ZURI SANA LA VYUMBA VITATU VYA KULALA LINAUZWA KIBAHA KWA MFIPA MILIONI 18 TU
==========
๐ปLina vyumba vitatu vya kulala, Chumba kimoja ni Master
๐ปSebule kubwa
๐ปJiko
๐ป Public toilet
__________________
โ๏ธ Lipo kwenye barabara ya mtaa
๐ Boma lina ukuta upande mmoja
๐ Lipo karibu na chuo cha Mwl NYERERE
โ๏ธ Unapaua na kuhamia
๐ Umeme na Maji vimegusa kiwanja
==========
โ
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 400
_____________________
๐ฐ BEI MILIONI 18 TU
Maongezi yanafanyika site.
==========
โ๏ธ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















