Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha Kwa Mfipa, Pwani (400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
BOMA JIPYAA ZURI SANA LA VYUMBA VITATU VYA KULALA LINAUZWA KIBAHA KWA MFIPA MILIONI 18 TU
==========
π»Lina vyumba vitatu vya kulala, Chumba kimoja ni Master
π»Sebule kubwa
π»Jiko
π» Public toilet
__________________
βοΈ Lipo kwenye barabara ya mtaa
π Boma lina ukuta upande mmoja
π Lipo karibu na chuo cha Mwl NYERERE
βοΈ Unapaua na kuhamia
π Umeme na Maji vimegusa kiwanja
==========
β
Kiwanja kina ukubwa wa sqm 400
_____________________
π° BEI MILIONI 18 TU
Maongezi yanafanyika site.
==========
βοΈ Kupelekwa kuona nyumba Tsh 30k tu
==========
Call/WhatsApp:
#0714972994















