3 Bedrooms House for sale in Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam

Type
House
Bedrooms
3
Plot Size
700 SQM
Nearest Road
2km
Amenities
Description
π‘ APARTMENTS 3 ZINAUZWA β KIGAMBONI KISOTA, DAR ES SALAAM π‘
Fursa adhimu ya uwekezaji wenye mapato ya uhakika!
β
Apartments 3 zinauzwa kwa TZS Milioni 350 (mazungumzo kidogo yapo).
Sifa za nyumba:
π Nyumba 2 zina vyumba 3 vya kulala kila moja na kila nyumba inapangishwa kwa TZS 800,000 kwa mwezi.
π Nyumba 1 ina vyumba 2 vya kulala na inapangishwa kwa TZS 250,000 kwa mwezi.
π° Mapato ya kodi kwa mwezi ni TZS 1,850,000.
π Zipo Kigamboni Kisota, nyumba ya pili kutoka barabara ya lami.
π Ukubwa wa eneo ni Sqm 700.
π Eneo limepimwa na lina Hati ya Wizara.
π¨βπ©βπ§βπ¦ Nyumba zote tayari zina wapangaji wanaolipa kodi kwa wakati.
π Eneo ni la biashara na makazi, hivyo ukitoka mpangaji mmoja ni rahisi sana kupata mwingine kwa haraka.
π Umbali:
β
Takribani km 4 hadi Dar es Salaam Bridge.
β
Takribani km 6 hadi Kigamboni Ferry.
π΅ Bei: TZS Milioni 350 tu (mazungumzo kidogo).
π Wasiliana: 0746407197
πΌ Service Charge: TZS 30,000
π² Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni DarEsSalaam Investment















