Tafuta

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 350,000,000

Huduma na Sifa

Hati
Karibu na Barabara ya Lami
Ardhi Iliyopimwa

Maelezo

🏑 APARTMENTS 3 ZINAUZWA – KIGAMBONI KISOTA, DAR ES SALAAM 🏑

Fursa adhimu ya uwekezaji wenye mapato ya uhakika!

βœ… Apartments 3 zinauzwa kwa TZS Milioni 350 (mazungumzo kidogo yapo).

Sifa za nyumba:
🏠 Nyumba 2 zina vyumba 3 vya kulala kila moja na kila nyumba inapangishwa kwa TZS 800,000 kwa mwezi.
🏠 Nyumba 1 ina vyumba 2 vya kulala na inapangishwa kwa TZS 250,000 kwa mwezi.

πŸ’° Mapato ya kodi kwa mwezi ni TZS 1,850,000.

πŸ“ Zipo Kigamboni Kisota, nyumba ya pili kutoka barabara ya lami.
πŸ“ Ukubwa wa eneo ni Sqm 700.
πŸ“„ Eneo limepimwa na lina Hati ya Wizara.
πŸ‘¨β€πŸ‘©β€πŸ‘§β€πŸ‘¦ Nyumba zote tayari zina wapangaji wanaolipa kodi kwa wakati.
πŸ“ˆ Eneo ni la biashara na makazi, hivyo ukitoka mpangaji mmoja ni rahisi sana kupata mwingine kwa haraka.

πŸ“ Umbali:
βœ… Takribani km 4 hadi Dar es Salaam Bridge.
βœ… Takribani km 6 hadi Kigamboni Ferry.

πŸ’΅ Bei: TZS Milioni 350 tu (mazungumzo kidogo).

πŸ“ž Wasiliana: 0746407197

πŸ’Ό Service Charge: TZS 30,000

πŸ“² Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale

#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni DarEsSalaam Investment

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam