3 Bedrooms House for Sale in Kigamboni Mgongo, Dar Es Salaam (700 sqm)

Amenities
Description
π‘ NYUMBA NZURI INAUZWA KIGAMBONI MGONGO, DAR ES SALAAM π‘
Unatafuta nyumba ya kisasa katika eneo la hadhi na utulivu? Hii ndiyo fursa yako!
β
Bei: TZS 135,000,000 (Mazungumzo yapo)
Sifa za nyumba:
π Vyumba 3 vya kulala
ποΈ Sebule kubwa na yenye nafasi ya kutosha
π½οΈ Dining
π¨βπ³ Jiko la kisasa
β¨ Gypsum tayari
πͺ Madirisha ya aluminium
ποΈ Imejengwa kwa kiwango cha juu cha ubora
π‘ Paa la kisasa la mteremko (Kitonga)
π§ Imebaki kujenga fence tu
Ukubwa wa eneo:
π SQM 700
π Kiwanja kimepimwa (Surveyed & Approved Plot) na kina nyaraka zinazokuwezesha kupata umiliki kwa utaratibu husika.
π Eneo la Kigamboni Mgongo ni la uswahilini wa kisasa, tulivu na linaendelea kwa kasi, likifaa kwa makazi ya familia na uwekezaji.
Usikose nafasi ya kumiliki nyumba bora yenye eneo kubwa kwa bei nzuri.
π Wasiliana nasi: 0746407197
π° Service Charge: TZS 30,000
π² Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
#dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment #creatorsearchinsights Kigamboni NyumbaInauzwa DarEsSalaam















