3 Bedrooms House for Sale in Kikuyu Extension, Dodoma

Type
House
Bedrooms
3
Bathrooms
2
Nearest Road
1km
Amenities
Description
π‘ NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA β KIKUYU EXTENSION, DODOMA
π° BEI: TSH MILIONI 35 TU
π DOKUMENTI: HATI HALISI (TITLE DEED)
π Nyumba ipo Kikuyu Extension, karibu sana na eneo la SGR, moja ya mitaa inayokua kwa kasi na inayopendwa kwa makazi ndani ya Jiji la Dodoma.
β
Umbali kutoka nyumba ilipo hadi SGR ni takribani KM 1 tu
β
Umbali kutoka nyumba ilipo hadi Nyerere Square ni takribani KM 5 tu
π MUUNDO WA NYUMBA
βοΈ Vyumba 3 vya kulala
βοΈ Chumba 1 Master Bedroom
βοΈ Sebule kubwa
βοΈ Jiko
βοΈ Public Toilet
ποΈ Hatua ya Ujenzi
Nyumba imejengwa kwa msingi mkubwa na imara, na imefikia hatua ya kufunga renta. Baada ya hatua hiyo hubaki kupandisha kozi za juu na kisha kufikia roof level. Ujenzi umefanyika kwa ubora mzuri na umebaki hatua chache za kuikamilisha kulingana na mahitaji ya mnunuzi.
π Eneo la kiwanja bado ni kubwa na lina nafasi ya maendeleo zaidi. Mnunuzi anaweza kuongeza ujenzi mwingine kulingana na mahitaji yake.
π‘ Fursa za Uwekezaji
β
Malizia nyumba na uitumie kama makazi ya familia.
β
Malizia na uipangishe kama Stand Alone House.
β
Fanya finishing ya kisasa (Full Furnished) na uipangishe kwa kati ya TSH 1,000,000 hadi 1,500,000 kwa mwezi.
β
Itumie kama ofisi na uipangishe kwa taasisi au kampuni.
β
Tumia eneo lililobaki kujenga vyumba vya kupangisha au Master Self za kisasa.
π Sifa za Eneo
βοΈ Mtaa umejengeka vizuri na umepangiliwa.
βοΈ Hakuna uswahili.
βοΈ Maji yapo.
βοΈ Umeme upo.
βοΈ Majirani wapo.
βοΈ Karibu na huduma muhimu za mjini.
βοΈ Nyumba ipo sehemu nzuri yenye ufikivu rahisi.
π₯ Biashara imenyooka, hati ipo tayari na mauzo ni ya haraka.
π Wahi kuwasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi na kutembelea eneo.







