Search

3 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 45,000,000

Description

🏡 NYUMBA INAUZWA – TABATA SEGEREA 🏡

Unatafuta nyumba ya kuhamia mara moja au fursa ya uwekezaji? Hii ndiyo nafasi yako!

📍 Mahali: Tabata Segerea
🛣️ Umbali: Kilomita 1 tu kutoka kituoni, barabara inafikika kwa urahisi mwaka mzima.

Sifa za Nyumba:

✅ Vyumba 3 vya kulala (kimoja ni Master Bedroom)
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Jiko
✅ Choo cha wageni (Public Toilet)
✅ Maji na umeme vipo
✅ Parking ya gari 1
✅ Huduma zote muhimu za kijamii zinapatikana karibu

Fursa ya Uwekezaji

Nyumba hii inafaa kwa:
🏠 Makazi binafsi – Hamia na familia yako mara moja.

💼 Uwekezaji – Malizia finishing kwa ubora unaoutaka, kisha ipangishe kwa kati ya TSh 700,000 hadi TSh 1,000,000 kwa mwezi, kutegemeana na kiwango cha finishing utakachoweka. Eneo lina mahitaji makubwa ya wapangaji, hivyo ni fursa nzuri ya kuongeza kipato.

💰 Bei: TSh 45,000,000 tu.
Service charge 30,000/=.

📞 Mhitaji piga simu:

Karibu sana ndugu mteja tufanye biashara!

Dalali Tabata

dalaliwakishua

@dalaliwakishua

View Listings

Similar properties in Segerea, Dar Es Salaam

3 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 45,000,000

For Sale3 beds1 bathhouse
2 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 1,200,000,000

For Sale2 beds2 bathshouse
2 Bedrooms House for Sale in Tabata Segerea, Dar Es Salaam

Sh. 1,200,000,000

For Sale2 beds2 bathshouse
Dalali Tabata