3 Bedrooms House for sale at Ukonga, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Type

House

Bedrooms

3

Description

NYUMBA MBILI PAMOJA,TSHS.100 UKONGA BANANA.

Hapa ni njia panda ya SEGEREA.

Kila nyumba inajitegemea na ni vyumba 3 kila moja.
Parking ipo yakutosha.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 880.
Umiliki ni LESENI YA MAKAZI.

_________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

________________mskv