2 Bedrooms House/Apartment for Rent in Kibamba, Dar Es Salaam







Kibamba, Ubungo, Dar Es Salaam
6 hours ago
Sh. 250,000 per month
Type
House
Bedrooms
2
Description
APARTMENT INAPANGISHWA KIBAMBA SHULE 250K
Vyumba 2 vya kulala sebule jiko na public toilet
Kodi 250,000 kwa mwezi × 6 ( hakuna pungufu ya miezi)
Inajitegemea maji na umeme
Umbali km 1.5 barabara ni lami mpaka mlangoni,boda 1000 bajaji 700 ukishuka unapiga teke mlango
Ndani ya fence parking ya kutosha
Kupelekwa kuona nyumba 15000
0679447338
0753454167
